Latest News

HOOT NEWS : P.DIDDY ANDONDOSHA $40 M Kwenye Mjengo Mpya...

Mkali wa Miondoko ya Hip Hop Sean Combs A.K.A P.DIDDY amedondosha Dola za Kimarekani Milioni 40 kwenye Hekalu moja kubwa huko Mjini LOs Angels Ambapo Mtandao wa TMZ umeeleza kuwa ndipo karibu na mahali alipofia Mfalme wa pop Michael Jackson...



Hekalu Hiyo ina Ukubwa wa futi 17,000 square pamoja na futi 3,000 square ambazo ni za moja wa mjengo wa kulala wageni...katika mjengo huu pia kuna massage room, beauty salon na Spa House  





Source; TMZ ,Latimes



CELEBRITY BLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

created & designed by obby hans. Theme images by Bim. Powered by Blogger.