Kama ilikuwa kawaida kumtunza mtu zawadi au kumsaidia binaadamu mwenzako sababu sisi woote tumeumbwa na mwenyezi mungu na unapomuona binaadamu mwenzako anapata tabu basi msaidie...hii aliithibitisha mnyama,CocaBouy, D2theP DIAMOND PLATNUMZ baada ya kumnunulia mkongwe wa muziki mzee Gurumo mkoko...
Sasa hii nyngine ni BALAAAA...!!! kutoka kikundi cha wanahiphop kama Lilwayne, Mackmane, Jay sean n.k, CMB ambacho kinachomilikiwa na Bryan Williams A.K.A BIRDMAN , inaelezwa kuwa BIRDMAN amemnunulia Gari Msanii wa R&B JUSTIN BIEBER ambalo linagharimu kama $2Million .
Justin Bieber alipost kwenye ukurasa wake wa Istagram akisema "Uncle Stunna luv. My first Bugatti ♛ #generosity" ...
sasa unaweza ukasema kuwa JB anakubalika kweli sababu hii ni ndinga ya pili katika COLLECTION zake za MAGARI ambalo alilozawadiwa ,nyengine ni ile aliyopewa na msanii wa hiphop SEAN COMBS A.K.A P.DIDDY baada ya kutimiza miaka 16 (Bonyeza hapa uone huo mkoko)....
-source : time.com
Blog Archive
MASTAA MAARUFU
Recent Posts
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Follow Us On FAcebooK :)
Popular Posts
-
Download hapa MORE -->> AUDIO MP3 DOWNLOADS
Labels
2 chainz
2face Idibia
Ace Hood
Akon
Alicia Keys
Ally Kiba
August Alsina
Barnaba
Belle 9
Ben Paul
Beyonce
Birdman
Bob Junior
Buster Rhymes
Chris brown
Christina Millan
Ciara
Cristiano Ronaldo
Davido
Deddy Man
Diamond PLatinumz
Dr. Dre
Drake
Game
Gisele Bundchen
Iggy Azalea
Iyanya
Izzo bizness
Justin Bieber
Jux
Katy Perry
Kid Ink
Kim Kardashian
Lil' wayne
Mariah Carey
Mavado
Meek Mill
Miguel
Mirror
Mr.Blue
Mwana FA
Navy Kenzo
Ommy Dimpoz
P diddy
Paris hilton
Paul walker
Rich mavoko
Sean paul
Snoop Dogg( snoop lion)
TheJordan
Trey songs
Vanessa mdee
Victoria Kimani
Wema sepetu
Weusi
Wiz Khalifa
Wizkid
Young Dee
Young Killer
big sean
future
kanye west
No comments:
Post a Comment