Latest News

kuhusu gari ya DIAMOND PLATNUMZ kugongwa na DALADALA



Imemfikia nyingine leo Soudy Brown, shuhuda wake mmoja amesema alishuhudia mzozo kati ya Diamond Platnumz na dereva wa daladala moja ya abiria ambayo inafanya safari zake kati ya Kawe na Mbagala.. ishu ni kwamba daladala hiyo ilikwangua gari ya Diamond.


Soudy Brown alimtafuta Diamond lakini simu yake haikupokelewa.. shuhuda huyo amesema mzozo haukufikia muafaka, daladala hiyo iliondoka eneo hilo kama imetoroka tukio hivi.
Unaweza kuisikiliza U Heard Soudy akiongea na shuhuda wake hapa..


CELEBRITY BLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

created & designed by obby hans. Theme images by Bim. Powered by Blogger.