Eddy kenzo ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki ambae ameshinda Tuzo ya BET.
Eddy Kenzo alikuwa katika kipengele cha Viewer’s Choice Best New International Artist’ cha BET Awards 2015, alikuwa akichuana na assper Nyovest wa Afrika Kusini, Mz Vee wa Ghana na wasanii wa Uingereza, George The Poet, MIC Lowry na Novelist.
No comments:
Post a Comment